Usalama Barabarani (Swahili Edition)
+3

Usalama Barabarani (Swahili Edition)

9789966472151
$18.80
In stock
1
Product Details
ISBN 13: 9789966472151
Author: Adaka Kisia
Publisher: Phoenix Publishers
Binding: Paperback
Idadi ya watu wanaokufa kila mwaka nchini Kenya kutokana na ajali za barabarani ni kubwa mno, kiasi kwamba ni lazima kila mtu ahusishwe katika kulitafutia tatizo hili suluhisho. Kitabu hiki kinaangazia mambo fulani yanayohusu usalama barabarani kwa lugha nyepesi. Kinaeleza juu ya njia bora za kutumia barabara kwa watembeaji kwa miguu, abiria, waendeshaji baisikeli na madereva wa magari; kile kinachosababisha ajali za barabarani na jinsi ya kuepukana nazo; huduma ya kwanza na vilevile jinsi ya kutekeleza kanuni za sheria za barabarani. Maelezo haya ni yenye manufaa makubwa kwa wanafunzi na watu wazima vilevile.


  • | Author: Adaka Kisia
  • | Publisher: Phoenix Publishers
  • | Publication Date: Aug 08, 2022
  • | Number of Pages: 50 pages
  • | Language: Swahili
  • | Binding: Paperback
  • | ISBN-10: 9966472150
  • | ISBN-13: 9789966472151
Save this product for later
  • Track Orders
  • Favorites
  • Shopping Bag
  • Gift Cards
  • Sign In
Display prices in: USD
ReComparo.com
Menu
STORE
Gift Card
ReComparo.com
Terms & Conditions Privacy Policy Shipping & Payment Info About Us Report abuse
Made with Ecwid by Lightspeed