Ir directamente a la información del producto
1 de 1

CreateSpace Independent Publishing Platform

Mioyo Iliyojeruhiwa Na Mabenchi Tupu Kanisani : Mwongozo Wa Kibiblia Kushughulikia Mpasuko Kanisani

Mioyo Iliyojeruhiwa Na Mabenchi Tupu Kanisani : Mwongozo Wa Kibiblia Kushughulikia Mpasuko Kanisani

ISBN-13: 9781725712676
Precio habitual $12.19
Precio habitual Precio de oferta $12.19
Oferta Agotado
Los gastos de envío se calculan en la pantalla de pago.
Ni kipi husababisha watu kuyahama makanisa yao? Je, ni haki wakati wote kulihama kanisa? Je, mipasuko yote kanisani ni mibaya? Utahamaje kanisa wakati kuhama inaonekana ni kitu cha lazima? Je, utatibu namna gani kutoka mhemuko na maumivu ya kiroho ambayo kutokana na migawanyiko ya kuchukiza na isiyopendeza? Ingawa haya sio maswali rahisi kuyajibu, uhakika wa mgawanyiko na mpasuko wa Makanisa kwenye makanisa uko bayana. Majaribio ya somo hili ni kukuchunguza jambo hili kwa upole na kutoa baadhi ya Mwongozo wa Kibiblia wa kulishughulika nakupitia hili mapambano ya kawaida tunayohisi katika kanisa la siku za leo.


  • | Author: F. Mac Leod
  • | Publisher: Createspace Independent Publishing Platform
  • | Publication Date: Aug 15, 2018
  • | Number of Pages: 68 pages
  • | Language: Swahili
  • | Binding: Paperback
  • | ISBN-10: 1725712679
  • | ISBN-13: 9781725712676
Ver todos los detalles