1
/
of
1
CreateSpace Independent Publishing Platform
Sio Kile Nilichotarajia : Wakati Maisha Yasipobadilika Kama Ulivyotarajia Mafunzo Kutoka Kitabu Cha Kutoka 16:3
Sio Kile Nilichotarajia : Wakati Maisha Yasipobadilika Kama Ulivyotarajia Mafunzo Kutoka Kitabu Cha Kutoka 16:3
ISBN-13: 9781979559485
Regular price
$12.19
Regular price
Sale price
$12.19
Unit price
/
per
Couldn't load pickup availability
Kama tukiwa wakweli kabisa, tutakiri kwamba mara zote maisha hayajawa vile tulivyo tarajia. Kama vijana tulitarajia maisha yenye mambo makubwa na Mapenzi motomoto muda wote. Imebaki kama simulizi kwamba hayo ndo yaliyopaswa kuwa maisha yetu, uhalisia umebadili kila mpango. Taifa la Israeli pia walikuwa na mawazo yao jinsi uhuru utakavyokuwa kutoka kwenye kifungo cha Misri na shauku kubwa juu ya kile Mungu atakachowafanyia. Kutoka 16:3 ina mambo mengi ya kutuambia kuhusu matarijio ya Waisraeli na Imani juu ya Mungu.
- | Author: F. Mac Leod
- | Publisher: Createspace Independent Publishing Platform
- | Publication Date: Nov 07, 2017
- | Number of Pages: 60 pages
- | Language: Swahili
- | Binding: Paperback
- | ISBN-10: 1979559481
- | ISBN-13: 9781979559485
Share
